ISAMIATI ILIYOPO FOREX
1. BASE CURRENCY
Hiki ni kiini msingi katika kununua au kuuza katika forex. kama utabuy USD/JPY Hii ni kumaanisha unanunua dola ya kimarekani na wakati huohuo unauza yen ya kijapani.
Hiki ni kiini msingi katika kununua au kuuza katika forex. kama utabuy USD/JPY Hii ni kumaanisha unanunua dola ya kimarekani na wakati huohuo unauza yen ya kijapani.
Kwa maana nyingine Base currency in fedha unayoitumia wewe
Kwa mfano sisi Tanzania base currency yetu ni shillings
Kwa mfano sisi Tanzania base currency yetu ni shillings
Felix
Kwenye Forex utatambua base currency kwa kuwa inakuwa ya kwanza kwenye pair mfano USD/JPY
Hapa USD ni base currency yako
Hapa USD ni base currency yako
2. QUOTE CURRENCY
Hii ni ile sarafu ya pili katika pair ya sarafu husika unapofanya trade. Mfano USD/JPY, JPY ndio quote currency.
Hii ni ile sarafu ya pili katika pair ya sarafu husika unapofanya trade. Mfano USD/JPY, JPY ndio quote currency.
3. LONG/BULLISH
Hii ni termonology ambayo unasikia watu wakiiongelea. kama imepatikana opportunity ya kulong/bullish hapa maana yake NUNUA. Bull ni aina za mnyama ambae anakula majani hivo candlestick zake nyingi zinakuwa zikiwakilishwa na rangi ya kijani. Huyu mnyama akitaka kukudhuru huinamisha kichwa chini na anakunyanyua kwa kukuchota kukupeleka juu. Hivyo katika Forex hapa inamaanisha soko linatoka chini linapanda juu.
Hii ni termonology ambayo unasikia watu wakiiongelea. kama imepatikana opportunity ya kulong/bullish hapa maana yake NUNUA. Bull ni aina za mnyama ambae anakula majani hivo candlestick zake nyingi zinakuwa zikiwakilishwa na rangi ya kijani. Huyu mnyama akitaka kukudhuru huinamisha kichwa chini na anakunyanyua kwa kukuchota kukupeleka juu. Hivyo katika Forex hapa inamaanisha soko linatoka chini linapanda juu.
4. SHORT/BEARISH
Kama imepatikana opportunity ya kushort/bearish hapa maana yake UZA.. Bear ni aina ya mnyama ambae anakula nyama, hivo candlestick yake huwakilishwa na rangi nyekundu. Huyu mnyama anavyokudhuru huruka juu kisha hukushusha chini. Hii katika forex inamaanisha soko linatoka juu kushuka chini.
Kama imepatikana opportunity ya kushort/bearish hapa maana yake UZA.. Bear ni aina ya mnyama ambae anakula nyama, hivo candlestick yake huwakilishwa na rangi nyekundu. Huyu mnyama anavyokudhuru huruka juu kisha hukushusha chini. Hii katika forex inamaanisha soko linatoka juu kushuka chini.
4. SHORT/BEARISH
Kama imepatikana opportunity ya kushort/bearish hapa maana yake UZA.. Bear ni aina ya mnyama ambae anakula nyama, hivo candlestick yake huwakilishwa na rangi nyekundu. Huyu mnyama anavyokudhuru huruka juu kisha hukushusha chini. Hii katika forex inamaanisha soko linatoka juu kushuka chini.
Kama imepatikana opportunity ya kushort/bearish hapa maana yake UZA.. Bear ni aina ya mnyama ambae anakula nyama, hivo candlestick yake huwakilishwa na rangi nyekundu. Huyu mnyama anavyokudhuru huruka juu kisha hukushusha chini. Hii katika forex inamaanisha soko linatoka juu kushuka chini.
5. PIP (PERCENTAGE IN POINT)
Hiki i kiasi cha thamani kinachocheza kulingana na mzunguko wa sarafu husika katika biashara. Huanza kuhesabiwa kutoka desimali ya nne katika pair mfano thamani ya USD/CHF ni 1.1379, thamani hii ikimove toka 1.13*79* mpaka 1.13*80* hapo inakuwa ni 1 pip
Isipokuwa kwa pair inazohusisha sarafu ya YEN nafasi za decimal zitakuwa tatu na sio nne kama pair nyingine. Mfano USD/JPY=1.137 hivo pip unaanza kuhesabu kwenye 7
Hiki i kiasi cha thamani kinachocheza kulingana na mzunguko wa sarafu husika katika biashara. Huanza kuhesabiwa kutoka desimali ya nne katika pair mfano thamani ya USD/CHF ni 1.1379, thamani hii ikimove toka 1.13*79* mpaka 1.13*80* hapo inakuwa ni 1 pip
Isipokuwa kwa pair inazohusisha sarafu ya YEN nafasi za decimal zitakuwa tatu na sio nne kama pair nyingine. Mfano USD/JPY=1.137 hivo pip unaanza kuhesabu kwenye 7
PENDING ORDER
Hizi ni aina ya ORDER zinazotika katika forex
2. BUY STOP
Hizi ni aina ya ORDER zinazotika katika forex
2. BUY STOP
Ukifanya analysis katika soko utagundua kuna fursa fulani inatokea katika soko. Au imeonesha dalili za kutokea. Lakini sio mda wote utakuwa katika kioo chako cha kompyuta. Hivo unaweka pending order ya kununua kama price itafika eneo fulani. Hivo utaweza kuendelea na shughuli zako kisha price ikifika pale itajinunua na kukuingiza kwenye market.
3. SELL STOP.
Kama maelezo yalivyo katika buy stop hii pia ni hivyo hivyo.. isipokuwa hapa unaweka oda kama price itashuka basi ijiuze na kukuingiza kwenye market ikifika point fulaniii.
Kama maelezo yalivyo katika buy stop hii pia ni hivyo hivyo.. isipokuwa hapa unaweka oda kama price itashuka basi ijiuze na kukuingiza kwenye market ikifika point fulaniii.
LEVERAGE
Hii ndio inayotusaidia sisi retaire trade kutrade forex
Hii ndio inayotusaidia sisi retaire trade kutrade forex